3 Ndipo Musa akawaambia watu: “Kumbukeni siku hii mliyotoka Misri,+ kutoka katika nyumba ya utumwa, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova aliwatoa katika nchi hii.+ Kwa hiyo hampaswi kula kitu chochote kilichotiwa chachu.
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova aliwatoa katika tanuru la kuyeyushia chuma, kutoka Misri, ili muwe watu ambao ni mali yake*+ mwenyewe, kama mlivyo leo.