Kumbukumbu la Torati 32:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ndipo atakaposema, ‘Miungu yao iko wapi,+Mwamba ambao waliukimbilia,38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,*Na kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+ Acheni iinuke na kuwasaidia ninyi. Na iwe kimbilio lenu. Yeremia 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Sasa iko wapi miungu yako uliyojitengenezea?+ Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa unapopatwa na msiba. Kwa maana miungu yako imekuwa mingi kama majiji yako, Ee Yuda.+
37 Ndipo atakaposema, ‘Miungu yao iko wapi,+Mwamba ambao waliukimbilia,38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,*Na kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+ Acheni iinuke na kuwasaidia ninyi. Na iwe kimbilio lenu.
28 Sasa iko wapi miungu yako uliyojitengenezea?+ Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa unapopatwa na msiba. Kwa maana miungu yako imekuwa mingi kama majiji yako, Ee Yuda.+