Isaya 56:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninyi nyote wanyama wa mwituni, njooni mle,Ninyi nyote wanyama wa mwituni mlio msituni.+ Yeremia 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha ndege wa angani na cha wanyama wa duniani, na hakuna mtu atakayewafukuza.+
33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha ndege wa angani na cha wanyama wa duniani, na hakuna mtu atakayewafukuza.+