Isaya 59:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu haki iko mbali sana nasi,Na uadilifu hautufikii na kututangulia. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! kuna giza;Kutumainia mwangaza, lakini tunaendelea kutembea katika utusitusi.+
9 Ndiyo sababu haki iko mbali sana nasi,Na uadilifu hautufikii na kututangulia. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! kuna giza;Kutumainia mwangaza, lakini tunaendelea kutembea katika utusitusi.+