Yeremia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anasema hivi: “Simameni kwenye makutano ya barabara mwone. Ulizeni kuhusu barabara za zamani za kale,Ulizeni mahali ilipo njia nzuri, nanyi mtembee ndani yake,+Nanyi mtajipumzisha.”* Lakini wanasema: “Hatutatembea kwenye njia hiyo.”+
16 Yehova anasema hivi: “Simameni kwenye makutano ya barabara mwone. Ulizeni kuhusu barabara za zamani za kale,Ulizeni mahali ilipo njia nzuri, nanyi mtembee ndani yake,+Nanyi mtajipumzisha.”* Lakini wanasema: “Hatutatembea kwenye njia hiyo.”+