Isaya 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo,+Kwa sababu wamejaa vitu vya kutoka Mashariki;Wanafanya uchawi+ kama Wafilisti,Nao wana watoto wengi wa wageni. Yeremia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ila tu ukubali hatia yako, kwa maana umemwasi Yehova Mungu wako. Uliendelea kutawanya wema wako* kwa wageni* chini ya kila mti wenye majani mengi, lakini hukuitii sauti yangu,” asema Yehova.’”
6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo,+Kwa sababu wamejaa vitu vya kutoka Mashariki;Wanafanya uchawi+ kama Wafilisti,Nao wana watoto wengi wa wageni.
13 Ila tu ukubali hatia yako, kwa maana umemwasi Yehova Mungu wako. Uliendelea kutawanya wema wako* kwa wageni* chini ya kila mti wenye majani mengi, lakini hukuitii sauti yangu,” asema Yehova.’”