Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima. Isaya 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwanamume mwenye nguvu atakuwa kitani,*Na kazi yake itakuwa cheche ya moto;Atateketea motoni pamoja na kazi yake,Na hapatakuwa na yeyote wa kuwazima.” Yeremia 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+
22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima.
31 Mwanamume mwenye nguvu atakuwa kitani,*Na kazi yake itakuwa cheche ya moto;Atateketea motoni pamoja na kazi yake,Na hapatakuwa na yeyote wa kuwazima.”
20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+