Yeremia 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Halafu Wakaldayo wakaiteketeza nyumba ya* mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kabisa kuta za Yerusalemu.+ Mika 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi kwa sababu yenu,Sayuni litalimwa kama shamba,Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+Na mlima wa Nyumba* utakuwa kama vilima msituni.*+
8 Halafu Wakaldayo wakaiteketeza nyumba ya* mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kabisa kuta za Yerusalemu.+
12 Basi kwa sababu yenu,Sayuni litalimwa kama shamba,Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+Na mlima wa Nyumba* utakuwa kama vilima msituni.*+