Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Enyi kizazi hiki, fikirieni wenyewe neno la Yehova.

      Je, nimekuwa kama nyika kwa Israeli

      Au nchi yenye giza linalokandamiza?

      Kwa nini watu hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tunazurura kwa uhuru.

      Hatutakuja kwako tena’?+

  • Yeremia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anasema hivi:

      “Simameni kwenye makutano ya barabara mwone.

      Ulizeni kuhusu barabara za zamani za kale,

      Ulizeni mahali ilipo njia nzuri, nanyi mtembee ndani yake,+

      Nanyi mtajipumzisha.”*

      Lakini wanasema: “Hatutatembea kwenye njia hiyo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki