Yeremia 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Enyi kizazi hiki, fikirieni wenyewe neno la Yehova. Je, nimekuwa kama nyika kwa IsraeliAu nchi yenye giza linalokandamiza? Kwa nini watu hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tunazurura kwa uhuru. Hatutakuja kwako tena’?+ Yeremia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anasema hivi: “Simameni kwenye makutano ya barabara mwone. Ulizeni kuhusu barabara za zamani za kale,Ulizeni mahali ilipo njia nzuri, nanyi mtembee ndani yake,+Nanyi mtajipumzisha.”* Lakini wanasema: “Hatutatembea kwenye njia hiyo.”+
31 Enyi kizazi hiki, fikirieni wenyewe neno la Yehova. Je, nimekuwa kama nyika kwa IsraeliAu nchi yenye giza linalokandamiza? Kwa nini watu hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tunazurura kwa uhuru. Hatutakuja kwako tena’?+
16 Yehova anasema hivi: “Simameni kwenye makutano ya barabara mwone. Ulizeni kuhusu barabara za zamani za kale,Ulizeni mahali ilipo njia nzuri, nanyi mtembee ndani yake,+Nanyi mtajipumzisha.”* Lakini wanasema: “Hatutatembea kwenye njia hiyo.”+