Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana nimesikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa,

      Maumivu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,

      Sauti ya binti ya Sayuni ambaye anaendelea kuhemahema kwa nguvu.

      Anasema hivi akiinyoosha mikono yake:+

      “Ole wangu, kwa maana nimechoka* kwa sababu ya wauaji!”

  • Yeremia 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tumesikia habari zake.

      Mikono yetu imelegea.+

      Taabu imetushika,

      Maumivu kama ya* mwanamke anayezaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki