Luka 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imesikiwa vema, na mke wako Elisabeti atakuzalia mwana, nawe utamwita Yohana.+ Luka 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.*+ Lakini hapaswi kamwe kunywa divai wala kileo,+ naye atajazwa roho takatifu hata kabla ya kuzaliwa,*+
13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imesikiwa vema, na mke wako Elisabeti atakuzalia mwana, nawe utamwita Yohana.+
15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.*+ Lakini hapaswi kamwe kunywa divai wala kileo,+ naye atajazwa roho takatifu hata kabla ya kuzaliwa,*+