Yeremia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tembeeni huku na huku katika barabara za Yerusalemu. Tazameni pande zote mwone. Tafuteni katika viwanja vyake vya jijiIkiwa mnaweza kumpata mtu anayetenda haki,+Yeyote anayejitahidi kuwa mwaminifu,Nami nitalisamehe jiji hilo. Yeremia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Laiti ningepata mahali ambapo wasafiri hulala nyikani! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao,Kwa maana wote ni wazinzi,+Kundi la watu wenye hila. Danieli 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waisraeli wote wamekiuka Sheria yako na kukuacha kwa kutotii sauti yako, hivi kwamba ukatumwagia laana na kiapo kilichoandikwa katika Sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumekutendea Wewe dhambi.
5 Tembeeni huku na huku katika barabara za Yerusalemu. Tazameni pande zote mwone. Tafuteni katika viwanja vyake vya jijiIkiwa mnaweza kumpata mtu anayetenda haki,+Yeyote anayejitahidi kuwa mwaminifu,Nami nitalisamehe jiji hilo.
2 Laiti ningepata mahali ambapo wasafiri hulala nyikani! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao,Kwa maana wote ni wazinzi,+Kundi la watu wenye hila.
11 Waisraeli wote wamekiuka Sheria yako na kukuacha kwa kutotii sauti yako, hivi kwamba ukatumwagia laana na kiapo kilichoandikwa katika Sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumekutendea Wewe dhambi.