- 
	                        
            
            Yeremia 36:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
11 Mikaya mwana wa Gemaria mwana wa Shafani alipoyasikia maneno yote ya Yehova kutoka katika kile kitabu cha kukunjwa, 12 akashuka kwenda kwenye nyumba ya* mfalme, katika chumba cha mwandishi. Wakuu wote* walikuwa wameketi humo: mwandishi Elishama,+ Delaya mwana wa Shemaya, Elnathani+ mwana wa Akbori,+ Gemaria mwana wa Shafani, Sedekia mwana wa Hanania, na wakuu wengine wote.
 
 -