Mambo ya Walawi 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitakivunja kiburi chenu cha ukaidi na kufanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu kama shaba. Yeremia 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu udongo umepasuka,Kwa maana hakuna mvua nchini,+Wakulima wametamauka na kuvifunika vichwa vyao. Amosi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ‘Pia niliwanyima mvua miezi mitatu kabla ya mavuno;+Nilileta mvua katika jiji moja lakini sikuileta katika jiji lingine. Shamba moja lilipata mvua,Lakini shamba lingine lilikauka kwa sababu halikupata mvua.
19 Nitakivunja kiburi chenu cha ukaidi na kufanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu kama shaba.
4 Kwa sababu udongo umepasuka,Kwa maana hakuna mvua nchini,+Wakulima wametamauka na kuvifunika vichwa vyao.
7 ‘Pia niliwanyima mvua miezi mitatu kabla ya mavuno;+Nilileta mvua katika jiji moja lakini sikuileta katika jiji lingine. Shamba moja lilipata mvua,Lakini shamba lingine lilikauka kwa sababu halikupata mvua.