2 Basi, kwanza kabisa, ninahimiza kwamba dua, shukrani, sala, na maombi yatolewe kwa ajili ya watu wa namna zote, 2 kutia ndani wafalme na wote wenye vyeo vya juu,+ ili tuendelee kuishi kwa amani na utulivu na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+