-
Ezekieli 18:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Methali hii mnayoisema katika nchi ya Israeli inamaanisha nini, ‘Akina baba wamekula zabibu chachu, lakini meno ya wana ndiyo yanayotiwa ukakasi’?+
3 “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hamtaendelea kuutaja msemo huo katika Israeli. 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.* Kama nafsi ya baba ilivyo yangu ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu. Nafsi* inayotenda dhambi ndiyo itakayokufa.*
-