Isaya 63:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa nini, Ee Yehova, unaruhusu* tutangetange kutoka kwenye njia zako? Kwa nini unaruhusu* mioyo yetu iwe migumu ili tusikuogope?+ Rudi, kwa ajili ya watumishi wako,Makabila ya urithi wako.+
17 Kwa nini, Ee Yehova, unaruhusu* tutangetange kutoka kwenye njia zako? Kwa nini unaruhusu* mioyo yetu iwe migumu ili tusikuogope?+ Rudi, kwa ajili ya watumishi wako,Makabila ya urithi wako.+