Yeremia 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nakuonya, Ee Yerusalemu, la sivyo nitakuacha* kwa chuki;+Nitakufanya uwe ukiwa, nchi isiyo na wakaaji.”+ Yeremia 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na mashamba yatanunuliwa tena katika nchi hii,+ ingawa mnasema: “Ni nchi yenye ukiwa isiyo na mwanadamu wala mnyama, nayo imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.”’
8 Nakuonya, Ee Yerusalemu, la sivyo nitakuacha* kwa chuki;+Nitakufanya uwe ukiwa, nchi isiyo na wakaaji.”+
43 Na mashamba yatanunuliwa tena katika nchi hii,+ ingawa mnasema: “Ni nchi yenye ukiwa isiyo na mwanadamu wala mnyama, nayo imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.”’