Isaya 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mambo hayo mawili yamekupata. Ni nani atakayekusikitikia? Maangamizi na uharibifu, njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji?+ Yeremia 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inueni ishara* kuelekea Sayuni. Tafuteni kimbilio, na msisimame tuli,” Kwa maana ninaleta msiba kutoka kaskazini,+ kishindo kikubwa.
19 Mambo hayo mawili yamekupata. Ni nani atakayekusikitikia? Maangamizi na uharibifu, njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji?+
6 Inueni ishara* kuelekea Sayuni. Tafuteni kimbilio, na msisimame tuli,” Kwa maana ninaleta msiba kutoka kaskazini,+ kishindo kikubwa.