Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+ Yeremia 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata pindo za nguo zako zina madoa ya damu ya maskini* wasio na hatia,+Ingawa sikuwapata wakivunja ili kuingia;Imejaa kwenye pindo zako zote.+
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+
34 Hata pindo za nguo zako zina madoa ya damu ya maskini* wasio na hatia,+Ingawa sikuwapata wakivunja ili kuingia;Imejaa kwenye pindo zako zote.+