Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Baadaye mtakapokuwa mkiteseka sana na mambo hayo yote yatakapokuwa yamewapata, ndipo mtakapomrudia Yehova Mungu wenu na kuisikiliza sauti yake.+

  • Zaburi 80:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Mungu, turudishe;+

      Uso wako na utuangazie, ili tuokolewe.+

  • Zaburi 85:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Turudishe,* Ee Mungu wa wokovu wetu,

      Na uache kutukasirikia.+

  • Yeremia 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akiomboleza,

      ‘Umenirekebisha, nami nimerekebishwa,

      Kama ndama ambaye hajazoezwa.

      Nirudishe, nami nitageuka bila kusita,

      Kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki