Nehemia 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+ Danieli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+
33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+
7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+