Zaburi 107:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana walikuwa wameliasi neno la Mungu;Waliudharau ushauri wa Aliye Juu Zaidi.+ Isaya 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikieni, enyi mbingu, na usikilize, ewe dunia,+Kwa maana Yehova amesema: “Nimelea wana wakakua,+Lakini wameniasi.+ Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+
2 Sikieni, enyi mbingu, na usikilize, ewe dunia,+Kwa maana Yehova amesema: “Nimelea wana wakakua,+Lakini wameniasi.+
10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+