Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima. Isaya 42:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,Hasira yake na ghadhabu ya vita.+ Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+ Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+ Yeremia 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+
22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima.
25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,Hasira yake na ghadhabu ya vita.+ Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+ Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+
20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+