Yeremia 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Sasa, tafadhali, waambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, ‘Yehova anasema hivi: “Ninatayarisha* msiba na kupanga njama dhidi yenu. Geukeni, tafadhali, kutoka kwenye njia zenu mbaya, na mrekebishe njia zenu na matendo yenu.”’”+ Mika 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Sasa basi nakusudia kuiletea familia hii msiba+ ambao hamtaweza kuuepuka.*+ Hamtatembea tena kwa kiburi,+ kwa sababu utakuwa wakati wa msiba.+
11 “Sasa, tafadhali, waambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, ‘Yehova anasema hivi: “Ninatayarisha* msiba na kupanga njama dhidi yenu. Geukeni, tafadhali, kutoka kwenye njia zenu mbaya, na mrekebishe njia zenu na matendo yenu.”’”+
3 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Sasa basi nakusudia kuiletea familia hii msiba+ ambao hamtaweza kuuepuka.*+ Hamtatembea tena kwa kiburi,+ kwa sababu utakuwa wakati wa msiba.+