Isaya 51:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wana wako wamezimia.+ Wanalala chini katika kila pembe ya barabaraKama kondoo mwitu katika wavu. Wamejaa ghadhabu ya Yehova, kemeo la Mungu wako.” Maombolezo 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani. Ezekieli 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Nitawaletea mishale hatari ya njaa kali ili iwaangamize.+ Mishale nitakayowaletea itawaangamiza ninyi. Nitaifanya njaa iwe kali zaidi kwenu kwa kufanya chakula chenu kisipatikane.*+
20 Wana wako wamezimia.+ Wanalala chini katika kila pembe ya barabaraKama kondoo mwitu katika wavu. Wamejaa ghadhabu ya Yehova, kemeo la Mungu wako.”
9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani.
16 “‘Nitawaletea mishale hatari ya njaa kali ili iwaangamize.+ Mishale nitakayowaletea itawaangamiza ninyi. Nitaifanya njaa iwe kali zaidi kwenu kwa kufanya chakula chenu kisipatikane.*+