Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitawaleta pia kwenye mlima wangu mtakatifu+

      Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.

      Dhabihu zao nzima za kuteketezwa na matoleo yao yatakubaliwa kwenye madhabahu yangu.

      Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote.”+

  • Ezekieli 20:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “‘Kwa maana katika mlima wangu mtakatifu, kwenye mlima mrefu wa Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ndiko watu wote wa nyumba ya Israeli, wote, watanitumikia nchini.+ Nitafurahishwa nao huko, nami nitadai mnipe michango yenu na matunda ya kwanza ya matoleo yenu, vitu vyenu vyote vitakatifu.+

  • Mika 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Katika siku za mwisho,*

      Mlima wa nyumba ya Yehova+

      Utaimarishwa kabisa juu ya vilele vya milima,

      Nao utainuliwa juu ya vilima,

      Na mataifa yatamiminika kwenye mlima huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki