Yeremia 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mimi mwenyewe nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu, kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mwingi.+ Ezekieli 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nimewakataa.* Wameponyoka kutoka motoni, lakini moto utawateketeza. Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowakataa.’”*+
5 Na mimi mwenyewe nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu, kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mwingi.+
7 Nimewakataa.* Wameponyoka kutoka motoni, lakini moto utawateketeza. Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowakataa.’”*+