Yeremia 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi: “Je, Israeli hana wana: Je, hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+ Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?” Ezekieli 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili zitakuwa zangu, nasi tutazimiliki zote mbili,’+ hata ingawa Yehova mwenyewe alikuwa humo,
49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi: “Je, Israeli hana wana: Je, hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+ Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?”
10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili zitakuwa zangu, nasi tutazimiliki zote mbili,’+ hata ingawa Yehova mwenyewe alikuwa humo,