Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha. Ezekieli 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawatakuwa windo la mataifa tena, na wanyama wa mwituni wa dunia hawatawanyafua, nao wataishi kwa usalama, na hakuna mtu atakayewaogopesha.+
4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.
28 Hawatakuwa windo la mataifa tena, na wanyama wa mwituni wa dunia hawatawanyafua, nao wataishi kwa usalama, na hakuna mtu atakayewaogopesha.+