Isaya 32:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+ Ezekieli 36:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nitaitia roho yangu ndani yenu, nami nitawafanya mtembee katika masharti yangu,+ nanyi mtashika na kufuata sheria zangu.*
14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+
27 Nitaitia roho yangu ndani yenu, nami nitawafanya mtembee katika masharti yangu,+ nanyi mtashika na kufuata sheria zangu.*