- 
	                        
            
            Ezekieli 10:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
11 Yaliposonga, yaliweza kwenda upande wowote kati ya zile pande nne bila kugeuka, kwa maana yalikuwa yakienda upande ambao kichwa kilitazama nayo yalienda bila kugeuka.
 
 -