Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Waamoni na Wamoabu wakageuka na kuwashambulia wakaaji wa eneo lenye milima la Seiri+ ili wawaue na kuwaangamiza kabisa; na baada ya kuwamaliza wakaaji wa Seiri, wakasaidiana kuangamizana wao kwa wao.+

  • Hagai 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitapindua kiti cha ufalme cha falme na kuharibu kabisa nguvu za falme za mataifa;+ nami nitayapindua magari ya vita na wale wanaoyaendesha,+ na farasi na wapanda farasi watauawa, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’”

  • Zekaria 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Siku hiyo msukosuko kutoka kwa Yehova utaenea sana miongoni mwao; na kila mtu ataukamata mkono wa mwenzake, na mkono wake utaushambulia mkono wa mwenzake.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki