23 Na Waamoni na Wamoabu wakageuka na kuwashambulia wakaaji wa eneo lenye milima la Seiri+ ili wawaue na kuwaangamiza kabisa; na baada ya kuwamaliza wakaaji wa Seiri, wakasaidiana kuangamizana wao kwa wao.+
22 Nitapindua kiti cha ufalme cha falme na kuharibu kabisa nguvu za falme za mataifa;+ nami nitayapindua magari ya vita na wale wanaoyaendesha,+ na farasi na wapanda farasi watauawa, kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’”
13 “Siku hiyo msukosuko kutoka kwa Yehova utaenea sana miongoni mwao; na kila mtu ataukamata mkono wa mwenzake, na mkono wake utaushambulia mkono wa mwenzake.*+