Ezekieli 39:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Siku hiyo, nitampa Gogu+ kaburi katika Israeli, kwenye bonde la wale wanaosafiri upande wa mashariki wa bahari, nalo litazuia njia ya wale wanaopitia humo. Hapo ndipo watakapomzika Gogu na umati wake wote, nao wataliita Bonde la Hamon-Gogu.*+
11 “‘Siku hiyo, nitampa Gogu+ kaburi katika Israeli, kwenye bonde la wale wanaosafiri upande wa mashariki wa bahari, nalo litazuia njia ya wale wanaopitia humo. Hapo ndipo watakapomzika Gogu na umati wake wote, nao wataliita Bonde la Hamon-Gogu.*+