Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitaleta wanyama wa mwituni kati yenu,+ nao watawaua watoto wenu,+ wataangamiza mifugo yenu na kupunguza idadi yenu, na barabara zenu hazitakuwa na watu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Watachoka kwa sababu ya njaa+

      Na kuliwa na homa kali na maangamizi machungu.+

      Nitawatumia meno ya wanyama ili yawashambulie+

      Na sumu ya wanyama wanaotambaa mavumbini.

  • Ezekieli 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ndivyo itakavyokuwa nitakapoleta adhabu zangu nne*+—upanga, njaa kali, wanyama hatari wa mwituni, na ugonjwa hatari+—dhidi ya jiji la Yerusalemu ili kuwaangamiza kabisa wanadamu na wanyama kutoka humo.+

  • Ezekieli 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Unapaswa kuwaambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa hakika kama ninavyoishi, wale wanaoishi katika magofu watauawa kwa upanga; na wale walio uwanjani nitawafanya wawe chakula cha wanyama wa mwituni; na wale walio katika ngome na mapango watakufa kwa ugonjwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki