Ezekieli 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kupitia maono kutoka kwa Mungu, alinileta katika nchi ya Israeli na kuniweka juu ya mlima mrefu sana,+ na juu yake kulikuwa na jengo lililoonekana kama jiji, upande wa kusini.
2 Kupitia maono kutoka kwa Mungu, alinileta katika nchi ya Israeli na kuniweka juu ya mlima mrefu sana,+ na juu yake kulikuwa na jengo lililoonekana kama jiji, upande wa kusini.