Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa makerubi wakainua juu mabawa yao na kuinuka kutoka duniani huku nikitazama. Yale magurudumu pia yalikuwa kando yao walipoondoka. Wakasimama katika kizingiti cha lango la mashariki la nyumba ya Yehova, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.+

  • Ezekieli 44:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Akanirudisha kupitia lango la nje la patakatifu lililotazama mashariki,+ nalo lilikuwa limefungwa.+ 2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili litabaki likiwa limefungwa. Halipaswi kufunguliwa, na hakuna mwanadamu yeyote atakayelitumia kuingia; kwa maana mimi Yehova, Mungu wa Israeli, nimeingia kupitia lango hilo,+ basi linapaswa kubaki likiwa limefungwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki