-
Hesabu 18:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Pia walete ndugu zako wa kabila la Lawi, kabila la mababu zako, ili wajiunge nawe na kukuhudumia wewe+ pamoja na wanao mbele ya hema la Ushahidi.+ 3 Wanapaswa kutimiza majukumu utakayowapa na utumishi wa hema lote.+ Hata hivyo, hawapaswi kukaribia vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu, ili wewe pamoja nao msife.+
-