29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame na ukiwa kabisa+ kwa sababu ya mambo yote yanayochukiza ambayo wamefanya.”’+
12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+
6 Hata hivyo, je, maneno yangu na maagizo yangu niliyowaamuru watumishi wangu, manabii, hayakutimia kwa baba zenu?’+ Basi wakanirudia na kusema: ‘Yehova wa majeshi ametutendea kulingana na njia zetu na matendo yetu, kama alivyokusudia kututendea.’”+