Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame na ukiwa kabisa+ kwa sababu ya mambo yote yanayochukiza ambayo wamefanya.”’+

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+

  • Zekaria 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, je, maneno yangu na maagizo yangu niliyowaamuru watumishi wangu, manabii, hayakutimia kwa baba zenu?’+ Basi wakanirudia na kusema: ‘Yehova wa majeshi ametutendea kulingana na njia zetu na matendo yetu, kama alivyokusudia kututendea.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki