-
Mambo ya Walawi 21:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie hivi wana wa Haruni, makuhani: ‘Mtu yeyote kati yenu asijichafue kwa kumgusa mtu aliyekufa* miongoni mwa watu wake.+ 2 Lakini anaweza kufanya hivyo kwa ajili ya mtu wa karibu wa ukoo aliye na uhusiano wa damu naye, mama yake, baba yake, mwana wake, binti yake, ndugu yake, 3 na anaweza kujichafua kwa kumgusa dada yake wa karibu ikiwa ni bikira na hajaolewa.
-