Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 45:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, mtafanya sherehe ya Pasaka.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+

  • Ezekieli 45:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Pia anapaswa kutoa toleo la nafaka la efa moja kwa ajili ya kila ng’ombe dume mchanga na efa moja kwa ajili ya kila kondoo dume, vilevile hini* moja ya mafuta kwa kila efa.

  • Ezekieli 46:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku ya mwezi mpya atatoa ng’ombe dume mchanga wa kundi asiye na kasoro, wanakondoo sita dume, na kondoo dume mmoja; hawapaswi kuwa na kasoro.+ 7 Atatoa toleo la nafaka la efa moja kwa ajili ya yule ng’ombe dume mchanga, na efa moja kwa ajili ya yule kondoo dume, na chochote anachoweza kutoa kwa ajili ya wale wanakondoo dume. Naye anapaswa kutoa hini moja ya mafuta kwa kila efa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki