Zekaria 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku hiyo maji yaliyo hai+ yatatiririka kutoka Yerusalemu,+ nusu yataelekea kwenye bahari ya mashariki*+ na nusu yataelekea kwenye bahari ya magharibi.*+ Hilo litatukia wakati wa kiangazi na wa baridi kali.
8 Siku hiyo maji yaliyo hai+ yatatiririka kutoka Yerusalemu,+ nusu yataelekea kwenye bahari ya mashariki*+ na nusu yataelekea kwenye bahari ya magharibi.*+ Hilo litatukia wakati wa kiangazi na wa baridi kali.