-
Ezekieli 47:15-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Huu ndio mpaka wa kaskazini wa nchi: Unaanzia ile Bahari Kuu kupitia njia ya Hethloni+ kuelekea Sedadi,+ 16 Hamathi,+ Berotha,+ na Sibraimu, kati ya eneo la Damasko na eneo la Hamathi, hadi Haser-hatikoni, karibu na mpaka wa Haurani.+ 17 Basi mpaka utaanzia baharini hadi Hasar-enoni,+ kwenye mpaka wa Damasko kuelekea kaskazini, pamoja na mpaka wa Hamathi.+ Huo ndio mpaka wa kaskazini.
-