Yeremia 39:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mfalme wa Babiloni akaagiza wana wa Sedekia wachinjwe mbele ya macho yake kule Ribla, na mfalme wa Babiloni akaagiza wakuu wote wa Yuda wachinjwe.+ 7 Ndipo akayapofusha macho ya Sedekia, kisha akamfunga kwa pingu za shaba ili ampeleke Babiloni.+ Maombolezo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amenizungushia ukuta, hivi kwamba siwezi kutoroka;Amenifunga kwa pingu nzito za shaba.+
6 Mfalme wa Babiloni akaagiza wana wa Sedekia wachinjwe mbele ya macho yake kule Ribla, na mfalme wa Babiloni akaagiza wakuu wote wa Yuda wachinjwe.+ 7 Ndipo akayapofusha macho ya Sedekia, kisha akamfunga kwa pingu za shaba ili ampeleke Babiloni.+