Ezekieli 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwaka wa 30, siku ya tano ya mwezi wa nne, nilipokuwa kando ya mto Kebari+ miongoni mwa watu waliohamishwa,+ mbingu zilifunguliwa nami nikaanza kuona maono ya Mungu. Ezekieli 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfano wa anga lililometameta kama barafu inayotisha, lililotanda juu ya vichwa vyao.+
1 Katika mwaka wa 30, siku ya tano ya mwezi wa nne, nilipokuwa kando ya mto Kebari+ miongoni mwa watu waliohamishwa,+ mbingu zilifunguliwa nami nikaanza kuona maono ya Mungu.
22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfano wa anga lililometameta kama barafu inayotisha, lililotanda juu ya vichwa vyao.+