16 Utukufu wa Yehova+ uliendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ na wingu likaufunika kwa siku sita. Siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu. 17 Kwa Waisraeli waliokuwa wakitazama, utukufu wa Yehova ulionekana kama moto mkali kwenye kilele cha mlima.