19 Nami nitawapa moyo wenye umoja,+ nami nitatia roho mpya ndani yao;+ nami nitauondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapa moyo wa nyama,+ 20 ili watembee katika sheria zangu na kushika hukumu zangu na kuzitii. Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.”’