Zaburi 106:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Waliwatoa dhabihu wana waoNa mabinti wao kwa roho waovu.+ 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.
37 Waliwatoa dhabihu wana waoNa mabinti wao kwa roho waovu.+ 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.