11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu?
Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+
12 Tazameni jambo hili kwa mshangao, enyi mbingu;
Tetemekeni kwa hofu kubwa,’ asema Yehova,