Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mnapaswa kuwaangamiza kabisa, Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ kama Yehova Mungu wenu alivyowaamuru;

  • Yoshua 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo wafalme watano wa Waamori,+ yaani, mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebroni, mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni wakakusanyika pamoja na majeshi yao, wakaenda kupiga kambi ili kulishambulia jiji la Gibeoni.

  • 2 Wafalme 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.*

  • Ezekieli 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anakuambia hivi Yerusalemu: “Asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Mkanaani. Baba yako alikuwa Mwamori,+ na mama yako alikuwa Mhiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki