5 Ndipo wafalme watano wa Waamori,+ yaani, mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Hebroni, mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni wakakusanyika pamoja na majeshi yao, wakaenda kupiga kambi ili kulishambulia jiji la Gibeoni.
11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.*
3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anakuambia hivi Yerusalemu: “Asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Mkanaani. Baba yako alikuwa Mwamori,+ na mama yako alikuwa Mhiti.+